Lengo kubwa katika ngoma hii ni kutuweka pamoja wasani, kusiwe na tabaka
la bongo fleva hivi hiphop hivi wote tuwe kitu kimoja amesema Stamina.
huu ni mmoja kati ya mashairi yaliyoko katika wimbo huo .
Stamina " kwa kupost picha insta, hilo mnaongoza,
utaskia mjengo wangu mpya kumbe umepanga mnajiongeza. naskia daily mpo
gym eti mnatanua vifua, wakati mkirudi makweni wengi wenu mnajichubua
Nay wamitego: " Nyie mnajifanya mnakaza huku mnakufa na
njaa, hakuna mnachopata zaidi ya sifa kwenye mitaa, kwanza
mnatudhalilish akutwa mnatupiga vizinga, umerekani mwingi mpaka mnakula
unga"
No comments:
Post a Comment